Bunge Logo
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Bunge la Tanzania

Dira na Dhima

Dira

"Kuwa Bunge lenye ufanisi na sikivu kwa wananchi wake."

Dhima

"Kuwa sauti ya Wananchi kwa kutimiza ipasavyo majukumu yetu ya Kikatiba ya Uwakilishi wa Wananchi, kutunga Sheria, na Kusimamia Serikali."