Bunge Logo
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Bunge la Tanzania

Aina za Kamati

1. Kamati za Kudumu zisizo za Sekta

  1. Kamati ya Uongozi
  2. Kamati ya Kanuni za Bunge
  3. Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge

2. Kamati za Bunge za Sekta

  1. Kamati ya Miundombinu
  2. Kamati ya Nishati na Madini
  3. Kamati ya Afya na Masuala ya Ukimwi
  4. Kamati ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo
  5. Kamati ya Utawala, Katiba na Sheria
  6. Kamati ya Tawala na Serikali za Mitaa
  7. Kamati ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii
  8. Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii
  9. Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama
  10. Kamati ya Maji na Mazingira
  11. Kamati ya Elimu, Utamaduni na Michezo

3.  Kamati za Sekta Mtambuka

  1. Kamati ya Bajeti
  2. Kamati ya Sheria ya Ndogo
  3. Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma

4.  Kamati za Kudumu zinazosimamia matumizi ya Fedha za Umma

  1. Kamati ya Hesabu za Serikali
  2. Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa