Parliament of Tanzania

Hon. Job Y. Ndugai

Speaker of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Mr. Stephen Kagaigai

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 20 Aprili, 2021 Ikulu Jijini Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai leo tarehe 20 Aprili, 2021 Ikulu Jijini Dodoma. Wanafunzi wa Shule ya sekondari ya wasichana ya Bunge wakifuatilia majadiliano wakati wa kikao cha kumi na mbili, Mkutano wa tatu wa Bunge la kumi na mbili Bungeni Jijini Dodoma. Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya sekondari ya wasichana ya Bunge kwenye viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Wanafunzi hao walitembelea Bunge kwa ajili ya kujifunza jinsi Bunge linavyofanya kazi Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akipokea zawadi ya kitabu kutoka kwa Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Dkt. Donald Wright (kulia) alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Kushoto ni Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Dkt. Donald Wright alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, kwa lengo la kumsalimia na kujadili masuala Mbalimbali ya ushirikiano wa kisekta Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati ya uongozi kilichokaa na Kujadili huduma za Bima ya Afya kwa Waheshimiwa Wabunge katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akipiga kura wakati wa zoezi la kuchagua viongozi Mbalimbali wa Bunge Sports Club katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson Baadhi ya Wabunge wanawake wakiomba kura mbele ya Wajumbe ya kuchaguliwa katika nafasi ya Ujumbe wa Kamati tendaji ya Bunge Sports Club katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Wabunge wanaume wakiomba kura mbele ya Wajumbe ya kuchaguliwa katika nafasi ya Ujumbe wa Kamati tendaji ya Bunge Sports Club katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

Hotuba Ya Bajeti Ya Ofisi Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa Ummy A. Mwalimu (Mb), akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Hotuba Ya Bajeti Ya Ofisi Ya Waziri Mkuu Na Bunge

Hotuba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya ...

Hotuba Ya Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (mb.), ...

HOTUBA YA MHE. DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA (MB.), WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AK ...

Azimio La Bunge La Kumpongeza Mhe. Samia Suluhu Ha ...

Azimio la Bunge la Kumpongeza Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Jamhuri ya M ...

View All News From Bunge

Details Stage Options
Click Here for More Bills & Legislation
THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) (NO. 2) ACT, 2021 First reading Download
THE ACCOUNTANTS AND AUDITORS (REGISTRATION)(AMENDMENTS) ACT, 2021 First reading Download
THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) ACT, 2021 Passed Download
The Appropriation Bill, 2020 First reading Download
The Finance Bill, 2020 First reading Download
Details Options
Click Here for More What's On
Hotuba ya Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa Ummy Ally Mwalimu (Mb) Download
​Hotuba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim M. Majaliwa (Mb), kuhusu Mapitio na Mwelekeo wa kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2021/2022 Download
TAARIFA YA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI KUHUSU MPANGO WA TATU WA MAENDELEO WA TAIFA WA MIAKA MITANO (2021/22-2025/26) Download
HOTUBA YA MHE. DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA (MB.), WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA MPANGO WA TATU WA MAENDELEO WA TAIFA WA MIAKA MITANO 2021/22 – 2025/26 Download
AZIMIO LA BUNGE LA KUUTAMBUA NA KUUENZI MCHANGO WA RAIS WA TANO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KWA UTUMISHI WAKE ULIOTUKUKA Download

Education And Outreach

EDUCATION

Quick Links