Parliament of Tanzania

Hon. Job Y. Ndugai

Speaker of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Ms. Nenelwa J. Mwihambi

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa 3 wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Bungeni jijini Dodoma, Juni 30, 2021. Wanawake Watumishi wa Ofisi ya Bunge wakimpatia zawadi ya pongezi Bi. Nenelwa Mwihambi (wa tatu kushoto) kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Katibu wa Bunge katika tukio lililofanyika ukumbi wa Pius Msweka Jijini Dodoma.   Wajumbe wa Chama cha Wabunge Wanawake (TWPG) wakimpatia zawadi  Bi. Nenelwa Mwihambi (wa pili kushoto) ya pongezi kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Katibu wa Bunge katika tukio lililofanyika ukumbi wa Pius Msweka Jijini Dodoma.   Bunge Sports Club yaibuka mshindi wa jumla michezo kati ya Bunge Sports Club na CRDB Bank Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Naibu Spika wa Kwanza wa Bunge la Malawi, Madalitso Kazombo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Juni 7, 2021 Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (kulia) akizungumza na Naibu Spika wa Kwanza wa Bunge la Malawi, Madalitso Kazombo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Juni 7, 2021 Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akikagua kikosi cha timu ya mpira wa miguu ya Bunge kabla ya kuumana na timu ya TBC iliyoisha kwa timu ya Bunge kuibuka na ushindi wa goli moja bila katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, Juni 5, 2021. Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Nenelwa Mwihambi akishiriki kikao maalum cha kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika kwa njia ya mtandao kilichopendekeza mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Kamati tendaji ya Chama hicho Duniani Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mnyakongo kutoka Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma nje ya Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, Juni 1, 2021 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, CP. Salum Hamduni (katikati) pamoja na Naibu Mkurugenzi wa TAKUKURU, Neema Mwakalyeye walipomtembelea Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Juni 1, 2021

Bunge Laahirishwa Hadi Agosti 31, 2021

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha mkutano wa 3 wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bungeni jijini Dodoma, Juni 30, 2021.

Bunge Lapitisha Bajeti Kuu Ya Serikali

Waheshimiwa Wabunge wakimfuatilia Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu ...

Mapendekezo Ya Serikali Kuhusu Makadirio Ya Mapato ...

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwasili katika Ukumbi wa ...

Taarifa Ya Hali Ya Uchumi Wa Taifa Kwa Mwaka 2020 ...

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akisoma taarifa ya Hali ya ...

View All News From Bunge

Details Stage Options
Click Here for More Bills & Legislation
THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) (NO. 3) ACT, 2021 First reading Download
The Appropriation Bill, 2021 Passed Download
THE FINANCE BILL, 2021 Passed Download
THE ROAD TRAFFIC (AMENDMENT) ACT, 2021 First reading Download
THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) (NO. 4) ACT, 2021 First reading Download
Details Options
Click Here for More What's On
HOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. MWIGULU L. NCHEMBA (MB.), WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO WAKATI AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA MWAKA 2021/22 Download
​Hotuba ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Dkt. Damas Daniel Ndumbaro (Mb), wakati akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Download
HOTUBA YA WAZIRI WA NISHATI,MHE. DKT MEDARD MATOGOLO KALEMANI (MB) AKIWASILISHA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA HIYO KWA MWAKA 2021/2022 Download
​HOTUBA YA MHESHIMIWA BALOZI LIBERATA RUTAGERUKA MULAMULA (MB), WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022 Download
HOTUBA YA MHE. INNOCENT LUGHA BASHUNGWA (MB.), WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO, AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2021/22 Download

Education And Outreach

EDUCATION

Quick Links