Parliament of Tanzania

Hon. Dr. Tulia Ackson

Speaker

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Ms. Nenelwa J. Mwihambi

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amewatembelea na kuwajulia hali waathirika wa maafa ya mafuriko ya matope na mawe yaliyotokea Wilaya ya Hanang Mkoa wa Manyara Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amewatembelea na kuwajulia hali majeruhi wa maafa ya mafuriko ya matope na mawe  yaliyotokea Wilaya ya Hanang ambao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Angellah Kairuki (Mb)  katika picha ya pamoja na Washiriki wa warsha ya Umoja wa Wabunge Wanawake kutoka Mabunge ya Jumuiya ya Madola ya masuala ya usawa wa kijinsia mara baada ya kuifunga warsha hiyo kwa niaba ya Washiriki katika Warsha ya Umoja wa Wabunge Wanawake kutoka Mabunge ya Jumuiya ya Madola yenye lengo la kujadili masuala ya usawa wa kijinsia wakiwemo Wabunge wa Bunge la Tanzania wakifuatilia ufunguzi wa warsha hiyo Katibu wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha ya Umoja wa Wabunge Wanawake kutoka Mabunge ya Jumuiya ya Madola yenye lengo la kujadili masuala ya kijinsia. Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi ofisi ya Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza hilo mara baada ya kuhairisha kikao katika hoteli na kituo cha Mikutano APC Mbweni Jijini Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi ofisi ya Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc ameongoza kikao cha Baraza hilo kilichothibitisha muhtasari wa kikao kilichopita, taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya Bunge kwa Mwaka 2023/2024 na taarifa ya idara ya utawala. Mjumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa ofisi ya Bunge, Ndg. Jane Kajiru akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya idara ya utawala na rasilimali watu kwa Mwezi Julai - Septemba 2023 katika hoteli na Kituo cha Mikutano cha APC Jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa ofisi ya Bunge, Ndg. Layson Mwanjisi akiwasilisha taarifa ya utaratibu wa malipo ya posho ya masaa mengi ya kazi kwa siku za Jumamosi na Jumapili katika hoteli na Kituo cha Mikutano cha APC Jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa ofisi ya Bunge, Ndg. Mary Lasway akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya mfuko wa Bunge kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 katika kikao kilichofanyika katika hoteli na Kituo cha Mikutano cha APC Jijini Dar es Salaam.

Spika Dkt. Tulia Akabidhi Misaada Kwa Waathirika Wa Mafuriko Hanang, Ampongeza Rais Samia

​Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson leo tarehe 6 Desemba, 2023 ametembelea eneo lililoathirika kwa mafuriko na maporokoko ya tope na magogo Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara na kukabidhi bidhaa mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko hayo.

Wabunge Wa Cwp Wakutana Kujadili Masuala Ya Usawa ...

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Angellah Kairuki (Mb) akifungua warsha ...

Bunge Laahirishwa Hadi Januari 30, 2024

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) akisoma Hotuba ya kuahirisha Bunge ambapo ...

Mheshimiwa Zainab Katimba Achaguliwa Kuwa Mwenyeki ...

Mheshimiwa Zainab Athuman Katimba

View All News From Bunge

Details Stage Options
Click Here for More Bills & Legislation
The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Bill, 2023 First reading Download
The Political Affairs Laws (Amendment) Bill, 2023. First reading Download
Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023. First reading Download
Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma wa Mwaka 2023. First reading Download
Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023. First reading Download
Details Options
Click Here for More What's On
HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB.), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUAHIRISHA MKUTANO WA 13 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 10 NOVEMBA, 2023 JIJINI DODOMA Download
MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2024/25 Download
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHE. DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA MADELU (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2024/25 Download
MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2024/25 Download
HOTUBA YA MHE. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB), WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS - MIPANGO NA UWEKEZAJI, AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2024/25 Download

Education And Outreach

EDUCATION

Quick Links