Parliament of Tanzania

News & Events

06th Dec 2023

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Angellah Kairuki (Mb) akifungua warsha ya Umoja wa Wabunge Wanawake kutoka Mabunge ya Jumuiya ya Madola yenye lengo la kujadili masuala ya usawa wa kijinsia kwa niaba ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson.

10th Nov 2023

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) akisoma Hotuba ya kuahirisha Bunge ambapo Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge umehitimishwa na hivyo Bunge limeahirishwa hadi tarehe 30 Januari, 2024

10th Nov 2023

Mheshimiwa Zainab Athuman Katimba

10th Nov 2023

Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) amezindua Bunge Marathon itakayofanyika tarehe 13 Aprili 2024 Dodoma, leo tarehe 09 Novemba 2023 ukumbi wa Msekwa Dodoma

06th Nov 2023

Waziri wa Nchi-Ofisi yaRais (Mipango na Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo akiwasilisha Bungeni Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2024/2025

Hon. Dr. Tulia Ackson

Speaker

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Ms. Nenelwa J. Mwihambi

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

View All MP's