Parliament of Tanzania

Hon. Dr. Tulia Ackson

Speaker

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Ms. Nenelwa J. Mwihambi

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

Wabunge/ujumbe  kutoka Bunge la Malawi wakiwa katika picha ya pamoja na wakandarasi wa reli ya kisasa ya umeme (sgr) mara baada ya kumaliza ziara ya mafunzo ihumwa leo tarehe 21 Aprili 2022 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akipokea zawadi kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Waheshimiwa Wabunge kutoka kwa Afisa Mkuu wa Uendeshaji wa Benki ya CRDB, Bruce Mwile Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Ujumbe kutoka Bunge la Malawi ukiongozwa na Naibu Spika wa Kwanza wa Bunge hilo, Mhe. Madalisto Kazombo walipotembelea Bunge la Tanzania. Kulia ni... Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akizungumza na Naibu Spika wa Kwanza wa Bunge la Malawi, Mhe. Madalisto Kazombo (katikati) na Naibu Spika wa Pili wa Bunge hilo, Mhe. Aisha Adams (kulia) wakati Wageni hao ulipotembelea Bunge la Tanzania Waheshimiwa Wabunge wakishiriki futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, Aprili 12, 2022 Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akishiriki futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, Aprili 12, 2022 Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na ugeni kutoka TAKUKURU pamoja na Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) leo Aprili 12, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Friedrich Erbert Stiftung, Ndg. Elizabeth Bolrich leo Aprili 12, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akiongoza kikao cha tume ya Utumishi wa Bunge kilichofanyika leo Aprili 11, 2022 katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akifungua Mafunzo wakati wa kuwasilishwa kwa taarifa juu ya kuchafuka kwa Mto Mara na Hatua zilizochukuliwa leo  Aprili 5, 2022  katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

Hotuba Ya Bajeti Ya Ofisi Ya Rais-menejimenti Ya Utumishi Wa Umma Na Utawala Bora

Waziri wa Nchi-Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora), Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha kwa mwaka 2022/23.

Wizara Ya Tamisemi Yawasilisha Bajeti Yake Bungeni

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocen ...

Makadirio Ya Mapato Na Matumizi 2022/2023 Ofisi Ya ...

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim M. Majaliwa ...

Bunge Kurushwa Live

Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akizungumza na Waandishi wa Habari J ...

View All News From Bunge

Details Stage Options
Click Here for More Bills & Legislation
The Anti-Money Laundering (Amendment) Bill, 2022 Passed Download
Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Maafa, 2022 First reading Download
The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (no. 6) Bill, 2021 Passed Download
The Written laws (Miscellaneous Amendments) (no. 7) Bill, 2021 Passed Download
The Fire and Rescue Force (Amendment) Bill, 2021 Passed Download
Details Options
Click Here for More What's On
HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, MHESHIMIWA INNOCENT LUGHA BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/23 Download
HOTUBA YA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA KASSIM M. MAJALIWA (MB.), KUHUSU MAPITIO NA MWELEKEO WA KAZI ZA SERIKALI NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA OFISI YA WAZIRI MKUU NA OFISI YA BUNGE KWA MWAKA 2022/2023 Download
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2022/23 Download
MAELEZO YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MHESHIMIWA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA MADELU (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA YA KUDHIBITI UTAKASISHAJI WA FEDHA HARAMU WA MWAKA, 2022 (THE ANTI - MONEY LAUNDERING (AMENDMENT) ACT, 2022 Download
MAONI YA KAMATI YA BAJETI KUHUSU MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA YA KUDHIBITI UTAKATISHAJI WA FEDHA HARAMU WA MWAKA, 2022 (THE ANTI - MONEY LAUNDERING (AMENDMENT) ACT, 2022 Download

Education And Outreach

EDUCATION

Quick Links