Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Primary Question

Term Session Sitting Sector Ministry Qn No Date
2020-2025 Session 11 Sitting 13 Water and Irrigation Wizara ya Maji 166 2023-04-25

Name

Innocent Sebba Bilakwate

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Kyerwa

Primary Question

MHE. INNOCENT S. BILAKWATE aliuliza: -

Je, lini Serikali itaanza ujenzi wa mradi wa maji wa Kyerwa, Nyaruzumbura, Nyakatuntu hadi Kamuli Wilayani Kyerwa?

Name

Maryprisca Winfred Mahundi

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Answer

NAIBU WAZIRI WA MAJI alijibu: -

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Waziri wa Maji naomba kujibu swali la Mheshimiwa Innocent Sebba Bilakwate Mbunge wa Jimbo la Kyerwa kama ifuatavyo: -

Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali itakamilisha usanifu wa miradi ya maji Wilayani Kyerwa mwezi Mei, 2023 na baadae kufuata taratibu za manunuzi ya Wakandarasi. Ujenzi wa miradi utaanza mwezi Septemba, 2023 na utanufaisha jumla ya vijiji 20 vikiwemo Vijiji vya Kyerwa, Nyaruzumbura, Nyakatuntu na Kamuli.