Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Supplementary Questions

Name

George Ranwell Mwenisongole

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Mbozi

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 1

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE: Mheshimiwa Spika, ahsante kwa kunipa nafasi ya kuuliza maswali mawili ya nyongeza.

Swali langu la kwanza, hili swali nimeliuliza hii ni mara ya tano sasa ndani ya Bunge hili na kila wakati mnasema Serikali kwamba inatafuta fedha.

Sasa nataka nimuulize Mheshimiwa Naibu Waziri, je, hizo fedha zinatafutwa miaka yote hii au lini zitapatikana?

Mheshimiwa Spika, swali langu la pili, kwa sasa hiyo barabara ina hali mbaya sana kutoka Mlowo mpaka pale Igamba sehemu ya Zerezeta na Mheshimiwa Naibu Waziri umefika umetumiwa picha umeona uhalisia.

Nini kauli ya Serikali kwa wakazi wa Mbozi wanaopata tabu sana kipindi hiki cha masika kwa hiyo barabara ifanyiwe matengenezo ya haraka na kuondolewa vile vifusi? Ahsante.

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, ahsante, napenda kujibu maswali mawili ya nyongeza ya Mheshimiwa George Ranwell Mwenisongole, Mbunge wa Mbozi kama ifuatavyo: -

Mheshimiwa Spika, ni kweli barabara hii anayoitaja ni muhimu sana ya kiuchumi na inayounganisha Mkoa wa Songwe na Mkoa wa Rukwa na ndiko kunakotoa mpunga mwingi sana katika nchi ya Tanzania.

Naomba nimhakikishie Mheshimiwa Mbunge ndiyo maana Serikali kwanza iliona ijenge daraja la Mto Momba kurahisisha usafiri, lakini nataka nimhakikishie Mheshimiwa Mbunge kwamba matarajio ya Wizara kwamba tutaweka kwenye mapendekezo ya bajeti barabara hii iweze kuanza kujengwa.

Mheshimiwa Spika, kwenye swali lake la pili, ni kweli kati ya Mlowo na Igamba eneo linaloitwa Zerezeta pamekuwa na changamoto na tulishamuagiza Meneja wa Mkoa aweze kuhakikisha kwamba anafanya marekebisho na kuweka changarawe ambazo ni imara ambazo haziwezi kuteleza ili shughuli za kiuchumi kwenye barabara hiyo ziendelee.

Kwa hiyo, nachukua pia nafasi hii kupitia Bunge kumuagiza Meneja wa Mkoa kuhakikisha kwamba anachukua jitihada za makusudi kuhakikisha kwamba eneo hilo la Mlowo - Igamba eneo la Zerezeta linafanyiwa matengenezo haraka, ahsante.

Name

Kwagilwa Reuben Nhamanilo

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Handeni Mjini

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 2

MHE. KWAGILWA R. NHAMANILO: Mheshimiwa Spika, ahsante sana, ni lini Serikali itakamilisha ujenzi wa barabara ya Handeni – Mziha - Turiani hasa ukizingatia kwamba barabara hii ndiyo barabara pekee inayounganisha Mkoa wa Tanga na Morogoro?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, ahsante, napenda kujibu swali la nyongeza la Mheshimiwa Reuben Kwagilwa, Mbunge wa Handeni kama ifuatavyo: -

Mheshimiwa Spika, barabara hii tulishaanza kuijenga mpaka Turiani na katika mwaka huu tulitenga kiasi cha Bajeti, lakini barabara hii haikupata kibali cha kuanza kujengwa. Nimhakikishie Mheshimiwa Mbunge kwamba kama alivyosema inaunganisha Mkoa wa Morogoro na Tanga kupitia Handeni, tutaiweka tena kwenye mapendekezo ya bajeti ya mwaka huu ili tuweze kuunganisha Mkoa wa Morogor na Tanga kupitia Turiani - Mziha hadi Handeni.

Name

Issaay Zacharia Paulo

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Mbulu Mjini

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 3

MHE. ZACHARIA P. ISSAAY: Mheshimiwa Spika, nakushukuru sana kwa kunipa nafasi; je, ni lini Serikali itaanza kujenga barabara ya Karatu-Endabash-Mbulu kwa kiwango cha lami? (Makofi)

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, ahsante, napenda kujibu swali la nyongeza la Mheshimiwa Issaay, Mbunge wa Mbulu Mjini kama ifuatavyo: -

Mheshimiwa Spika, barabara aliyoitaja tumeshaanza kuijenga kuanzia Mbulu hadi Garbab na tunaendelea. Zabuni ziko zilishafunguliwa zinafanyiwa evaluation kutoka Labay kwenda Hydom. Kwa hiyo tayari tumeshaanza hiyo barabra lakini pia ni barabara ambayo imeingia kwenye mpango wa EPC+F na evaluation zinaendelea.

Name

Boniphace Nyangindu Butondo

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Kishapu

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 4

MHE. BONIPHACE N. BUTONDO: Mheshimiwa Spika, ahsante, ni lini utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya Kolandoto kwenda Kishapu katika kiwango cha lami utaanza kutekelezwa?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, ahsante, barabara hii ipo kwenye mpango wa bajeti kwa ajili ya kuijenga mwaka huu na tutaendelea na mwaka ujao. (Makofi/Kicheko)

Name

David Mwakiposa Kihenzile

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Mufindi Kusini

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 5

MHE. DAVID M. KIHENZILE: Mheshimiwa Spika, ahsante, pamoja na kupitisha kwenye mfumo wa EPC katika zile barabara saba, ni lini Serikali itaanza ujenzi wa kiwango cha lami barabara ya Mafinga - Mgololo?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, barabara tajwa ipo kwenye evaluation, Mgololo - Mafinga.

Name

Joseph Zacharius Kamonga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ludewa

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 6

MHE. JOSEPH L. KAMONGA: Mheshimiwa Spika, nashukuru, ningependa kufahamu ni lini Serikali itakamilisha ujenzi wa kipande cha barabara kutoka Mawengi mpaka Makao Makuu ya Wilaya?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, Serikali inaendelea kutafuta fedha kati ya hicho kipande. (Makofi/Vigelegele)

Name

Suma Ikenda Fyandomo

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 7

MHE. SUMA I. FYANDOMO: Mheshimiwa Spika, ahsante, naomba tu kwa hekima, Mheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan amatusaidia sana kutupa fedha kiasi cha shilingi bilioni 7.2 pale Inyala binadamu wengi wamepoteza uhai.

Swali langu naomba kuuliza, je, ni lini Serikali itaanza kujenga barabara ya bypass kuanzia pale Mlima Nyoka mpaka Mbalizi?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, kipande hicho kiko kwenye sehemu ya Igawa kwenda Tunduma na sasa hivi tupo kwenye evaluation, ahsante. (Makofi)

Name

Mariam Madalu Nyoka

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 8

MHE. MARIAM M. NYOKA: Mheshimiwa Spika, je, lini Serikali itajenga barabara ya Mbinga – Mpepai – Mtuha - Lipalamba kwenda Mpepa kwa kiwango cha lami?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, baada ya kukamilisha upembuzi yakinifu na usanifu wa kina Serikali itatafuta fedha kuijenga barabara hiyo kwa kiwango cha lami. (Makofi)

Name

Abdallah Dadi Chikota

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Nanyamba

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 9

MHE. ABDALLAH D. CHIKOTA: Mheshimiwa Spika, fedha za ujenzi wa barabara ya Mnivata - Newala hadi Masasi imeshapatikana; je, ujenzi utaanza lini?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI NA UCHUKUZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, evaluation ilishapatikana, wakandarasi wamesha-tender tunasubiri tu barabara hiyo kuanza kujengwa baada ya kupata no objection ya African Development Bank, ahsante. (Makofi)

Name

Dr. Christine Gabriel Ishengoma

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 10

MHE. DKT. CHRISTINE G. ISHENGOMA: Mheshimiwa Spika,
lini kipande cha barabara kutoka Kilosa hadi Mikumi kitaanza ujenzi kwa kiwango cha lami?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, barabara hiyo aliyoitaja Mheshimiwa ipo inaendelea kuanzia barabara ya Morogoro - Dar es Salaam na tumeshafika Kilosa ikiwa ni mwendelezo wa kwenda Mikumi, ahsante.

Name

Masache Njelu Kasaka

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Lupa

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 11

MHE. MASACHE N. KASAKA: Mheshimiwa Spika, barabara ya Mokongorosi - Rungwa imeahidiwa kwa muda mrefu, je, ni lini Serikali itatoa fedha ili kipande cha Makongorosi kianze kujengwa?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE: Mheshimiwa Spika, tumeshaanza upande wa Itigi na bajeti itakayofuata tukishapitishiwa tutaanza upande mwingine wa Makongorosi kwenda Itigi, ahsante.

Name

Hussein Nassor Amar

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Nyang'hwale

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 12

MHE. HUSSEIN N. AMAR: Mheshimiwa Spika, kwa kuwa Serikali imeshatoa takribani shilingi milioni 150 kwa ajili ya upembuzi wa barabara kutoka Kahama - Nyangh’wale – Busisi; je, ni lini upembuzi huo utakamilika?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, tunategemea barabara hiyo ikamilike mwaka huu wa fedha, kwa maana ya usanifu wa kina.

Name

Agnes Elias Hokororo

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 13

MHE. AGNES E. HOKORORO: Mheshimiwa Spika, je, ni lini ujenzi wa barabara ya kutoka Masasi kwenda Nachingwea utaanza?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, ipo kwenye evaluation kupitia EPC+F. (Makofi)

Name

Esther Edwin Maleko

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 14

MHE. ESTHER E. MALLEKO: Mheshimiwa Spika, ni lini barabara ya Uru Shimbwe itajengwa kwa kiwango cha lami maana imekuwa ni ahadi ya muda mrefu sana?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, hatua ya kwanza itakuwa ni kutafuta fedha kwa ajili ya kukamilisha usanifu wa kina wa barabara husika. (Makofi)

Name

Stella Simon Fiyao

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 15

MHE. STELLA S. FIYAO: Mheshimiwa Spika, Serikali ina mpango gani wa kupanua barabara ya kutoka Mpemba mpaka Transfoma Tunduma ili kuepusha changamoto ya mrundikano wa magari ambayo wananchi wamekuwa wakikabiliano nayo ambayo inasababisha ajali?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, barabara ya Mpemba kwenda Tunduma ni sehemu ya barabara ya Igawa - Songwe - Tunduma na ipo kwenye evaluation hivi tunavyoongea, ahsante. (Makofi)

Name

Ally Anyigulile Jumbe

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Kyela

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 16

MHE. ALLY A. J. M. JUMBE: Mheshimiwa Spika, je ni lini Serikali itaanza rasmi ujenzi wa barabara ya Katumba - Songwe – Kasumuru – Ngana - Ileje?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, barabara hiyo ilishatangazwa na tender zimeshafunguliwa, kwa hiyo muda wowote itaanza kujengwa baada ya kumpata mkandarasi, ahsante.

Name

Ng'wasi Damas Kamani

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 17

MHE. NG’WASI D. KAMANI: Mheshimiwa Spika, ni lini ujenzi wa barabara ya kutoka Mwanza Airport kwenda Nyanguge kilometa 46 itaanza rasmi kujengwa kwa kiwango cha lami kama ilivyoahidiwa katika ilani mbili za uchaguzi?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, barabara tajwa ni sehemu ya barabara ya bypass, imeshafanyiwa usanifu wa kina na Serikali inaendelea kutafuta fedha ili iweze kujengwa yote kwa kiwango cha lami, ahsante.

Name

Hassan Zidadu Kungu

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Tunduru Kaskazini

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 18

MHE. HASSAN Z. KUNGU: Mheshimiwa Spika, ni lini Serikali itatujengea barabara ya bypass Tunduru Mjini?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, barabara husika itajengwa kwa bypass baada ya kufanyika usanifu wa kina. (Makofi)

Name

Jackson Gedion Kiswaga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Kalenga

Primary Question

MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza: - Je, ni lini barabara ya Mlowo – Utambalila – Chitete na Utambalila – Kamsamba kilometa 145 inayounganisha Mikoa ya Songwe na Katavi itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?

Supplementary Question 19

MHE. JACKSON G. KISWAGA: Mheshimiwa Spika, je, ni lini barabara ya kutoka Iringa Mjini kupita Kalenga kwenda Kilolo itajengwa?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI (MHE. ENG. GODFREY K. MSONGWE): Mheshimiwa Spika, itategemea na upatikanaji wa fedha na tunategemea barabara hiyo muhimu tuiweke kwenye mapendekezo kwa ajili ya kuijenga katika bajeti ambayo tunaiendea sasa hivi.