Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Supplementary Questions from Hon. Job Yustino Ndugai (1 total)

Je, ni lini wananchi wa Kata ya Ugalla watapatiwa umeme wa REA III?
WAZIRI WA NISHATI: Mheshimiwa Spika, wananchi wa Kata ya Ugalla pamoja na vijiji tisa, wataanza kupatiwa umeme kuanzia mwezi Juni mwaka huu mpaka mwezi Mei mwaka ujao. (Makofi)