Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Hon. Selemani Said Bungara

Sex

Male

Party

CUF

Constituent

Kilwa Kusini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

MHE. SELEMANI S. BUNGARA: Mheshimiwa Mwenyekiti, amani iwe kwa Mheshimiwa Waziri. Awali ya yote napenda kumshukuru Allah (SW) kwa kuniwezesha kuwepo leo hii na nikiwa na afya njema.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ombi langu kwake ni malipo ya wananchi wa Mji Mdogo wa Kilwa Masoko Sh.3,662,108,122.00 kwa ajili ya fidia. Mheshimiwa Waziri naomba asimamie madai yetu hayo.