Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Katiba na Sheria

Hon. Elias John Kwandikwa

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ushetu

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Katiba na Sheria

MHE. ELIAS J. KWANDIKWA: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa tumehamia Makao Makuu ya Halmashauri ya Ushetu, Makao Makuu katika Kijiji cha Nyamilangano (Jimbo la Ushetu) na kwa kuwa Mahakama inayohudumia eneo hili yako mbali na kwa kuwa tunayo Ofisi ya OCD – Ushetu tuliyopewa hivi karibuni na ni muhimu mashauri mbalimbali yanaelekezwa umbali mrefu kupata huduma za Kimahakama na kwa kuwa Halmashauri ya Ushetu iko tayari kutoa eneo kwa ajili ya ujenzi wa Mahakama tunaomba Serikali itujengee Mahakama ya Mwanzo eneo hili la Kijiji cha Nyamilangano (Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya Ushetu) ili wananchi wapate huduma ya haki zao.
Mheshimiwa Mwenyekiti, naunga mkono hoja.