Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Maliasili na Utalii

Hon. Tunza Issa Malapo

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Maliasili na Utalii

MHE. TUNZA I. MALAPO: Mheshimiwa Spika, Serikali ina mkakati gani wa kukuza utalii wa fukwe hasa katika Mkoa wa Mtwara, fukwe za Bahari ya Hindi ambazo ni nzuri na bado hazijachafuliwa lakini uwekezaji wake upo duni sana. Hali hii inanyima fursa mbalimbli katika mkoa wetu. Pale Msimbati kuna fursa kubwa ya uwekezaji katika utalii, Serikali inasema nini?