Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Hon. Hamida Mohamedi Abdallah

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Lindi Mjini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

MHE. HAMIDA M. ABDALLAH: Mheshimiwa Mwenyekiti, magereza nyingi nchini miundombinu ni chakavu, ninaomba Serikali kuona namna yoyote ya kurekebisha jengo la Magereza Lindi, hakuna gari, TAKUKURU walio wengi wanatumia magari binafsi, wasaidiwe Lindi kupata magari, zimamoto vifaa hawana tunahitaji boti ya uokoaji. Lindi tunapata changamoto, Serikali itusaidie.