Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Hon. Eng. Stella Martin Manyanya

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Nyasa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

MHE. ENG. STELLA M. MANYANYA; Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza natoa pongezi kwa Mheshimiwa Rais, Waziri, Naibu Waziri na watendaji wote; pili, shukrani kwa vyombo vya habari na mashirika ya mitandao yote.

Mheshimiwa Naibu Spika, Bunge lisaidiwe katika kuboresha huduma zake za maktaba.

Mheshimiwa Naibu Spika, ni lini Mkongo wa Taifa utafika Mbamba Bay?

Mheshimiwa Naibu Spika, mawasiliano ya TBC Nyasa yaendelee kuimarishwa.