Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Hon. Dr. Charles Stephen Kimei

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Vunjo

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

MHE. DKT. CHARLES S. KIMEI: Mheshimiwa Spika, napongeza dhana ya Serikali ya kuhamasisha utafiti. Hata hivyo kuna taasisi za utafiti ambazo hazipati fedha yoyote kutoka Serikalini na kuishia kuwa tegemezi kwa wahisani. Mojawapo ya taasisi hizo ni REPOA ambayo ni kati ya top ten research instructions Barani Afrika.