Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Maji

Hon. Eng. Stella Martin Manyanya

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Nyasa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Maji

MHE. ENG. STELLA M. MANYANYA: Mheshimiwa Spika, nyongeza yangu ya mchango wa bajeti Wizara ya Maji ni kuwa naomba pia kuikumbusha Wizara juu ya gari kwa ajili ya RUWASA Wilaya ya Nyasa kama ambavyo nilijibiwa kupitia swali langu la msingi Bungeni. Je, katika magari zaidi ya hamsini mliyogawa Nyasa imo? Jimbo la Nyasa ni kubwa ni vema wawezeshwe katika suala la usafiri.

Mheshimiwa Spika, Mkandarasi wa Puulu, Songambele na Ngeye anaanza lini mradi? Ana zaidi ya miezi saba sasa.