Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 – Wizara ya Viwanda Na Bishara

Hon. Joseph Michael Mkundi

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ukerewe

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 – Wizara ya Viwanda Na Bishara

MHE. JOSEPH M. MKUNDI: Mheshimiwa Mwenyekiti, Kuna umuhimu mkubwa wa Kiwanda cha Samaki kujengwa Wilayani Ukerewe ili kutumia malighafi (samaki) wanaozalishwa kwa wingi Wilayani Ukerewe. Kwa kufanya hivyo itasaidia matumizi sahihi na yenye ufanisi ya rasilimali zinazozalishwa(samaki) na itazalisha ajira kwa watu wetu na hivyo kukuza uchumi wao.