Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Hon. Fatma Hassan Toufiq

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

MHE. FATMA H. TOUFIQ: Mheshmiwa Mwenyekiti, nashukuru kupata muda wa kuchangia kwa maandishi. Kumekuwa na mamalamiko kutoka kwa baadhi ya maaskari wa kike kutopangwa mafunzo ikitokea bahati nzuri askari huyo ni mjamzito. Aidha, nafasi ya vyeo kwa wanawake inaonyesha bado ni finyu. Je, Jeshi la Polisi linawapa fursa gani maaskari polisi wanawake wanaoahirisha mafunzo kutokana ujauzito na fursa zipi za mafunzo hupata maaskari hasa baada ya kujifungua?

Mheshimiwa Spika, naunga mkono maoni ya Kamati kuendelea kutoa msisitizo kwa Serikali kutoa fedha kwa wakati ili kuimarisha utendaji kazi na Wizara ya Mambo ya Ndani kwa mafunzo 14,28,51 na 93.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.