Parliament of Tanzania

Watumishi wa Bunge wawasili Mkoa wa Lindi kutoa elimu kwa umma

Watumishi wa Bunge wamewasili Mkoa wa Lindi tarehe 31 Julai na kupokelewa na ofisi ya RAS Mkoani humo, kwaajili ya kutoa elimu kwa umma kuhusu Masuala ya Bunge kwa shule za Msingi na Sekondari.


Watumishi hao walianza kwa kutoa elimu kwa Sekondari ya Lindi na kesho yake tarehe 01 Agosti walielimisha shule nne, Wailes na Mtuleni shule za Msingi kwa upande wa sekondari WAMA Sharif na Angaza.


Watumishi hao wanatarajia kuwepo Mkoa wa Lindi hadi tarehe 11 Agosti 2023.

Hon. Dr. Tulia Ackson

Speaker

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Ms. Nenelwa J. Mwihambi

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

Member of the Parliament

Hon. Aeshi Khalfan Hilaly

Sumbawanga Mjini (CCM)

Supplementary Questions / Answers (1 / 0)

Contributions (17)

Profile

Hon. Khalifa Salum Suleiman

Tunguu (CCM)

Profile

View All MP's