Parliament of Tanzania

Mheshimiwa Zainab Katimba achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge Vijana

Umoja wa Wabunge Vijana umemchagua Mheshimiwa Zainab Katimba (Mb) kuwa Mwenyekiti wa Umoja huo katika uchaguzi uliofanyika Jijini Dodoma.

Viongozi wengine wa Umoja huo ambao wamechaguliwa katika uchaguzi huo ni Mheshimiwa Salome Makamba (Mb) amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti, Mheshimiwa Ramadhan Ramadhan (Mb) amechaguliwa kuwa Katibu na Mheshimiwa Dkt. Alfred Kimea (Mb) amechaguliwa kuwa Mwekahazina.

Aidha waliochaguliwa kuwa Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Umoja huo ni Mheshimiwa Khadija Taya (Mb), Mheshimiwa Latifa Juwakali (Mb) na Mheshimiwa Maryam Omar Said (Mb).

Hon. Dr. Tulia Ackson

Speaker

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Ms. Nenelwa J. Mwihambi

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

View All MP's