United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
19th Jan 2023
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Wananchi wa India Shri Om Birla, huku jambo kubwa likiwa kuendeleza ushirikiano kwenye sekta mbalimbali ikiwemo ya afya.
19th Jan 2023
​Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Dkt.Tulia Ackson(Mb) na mgeni wake Spika wa Bunge la wananchi India (Lok Sabha) Mhe. Om Birla wametembelea ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) Jijini Dar-es-salaam leo tarehe 19 Januari 2023
17th Jan 2023
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo katika kikao na Watendaji wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Jijini Dodoma
02nd Dec 2022
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akizungumza wakati wa hafla ya ufungaji wa Mashindano ya 12 ya michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Juba nchini Sudan Kusini
23rd Nov 2022
Wachezaji wa Timu ya Bunge Sports Club wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Juba nchini Sudan kwa ajili ya kushiriki katika michezo ya 12 ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki