United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
09th Sep 2021
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Prof. Kitila Mkumbo akiwasilisha Azimio la Bunge la Kuridhia Mkataba wa Uanzishwaji wa eneo huru la biashara la Afrika (Agreement Establishing African Continental Free Trade Area- AFCFTA)
08th Sep 2021
Waziri wa Kilimo Mhe. Prof. Adolf Mkenda akiwasilisha Azimio la Bunge la Kuridhia Itifaki ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya Afya ya Mimea, Wanyama na Usalama wa Wanyama na Chakula (East African Community Protocol on Sanitary and Phytosanitary (SPS) measures
23rd Aug 2021
Mbunge wa Kawe, Mhe. Josephat Gwajima akiwa mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajilli ya kuhojiwa kutokana na tuhuma mbalimbali zinazomkabili
17th Aug 2021
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waheshimiwa Wabunge wakati wa semina kuhusu Uviko-19 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Mbunge wa Maswa Mashariki, Stanslaus Nyongo