Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Hon. Pauline Philipo Gekul

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Babati Mjini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

MHE. PAULINE P. GEKUL: Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kupata majibu ya maswali yafuatayo:-

Ni lini Polisi watatoa EFD Machines wanapokusanya faini? Ni lini ombi letu la Magereza Babati kutugawia eneo la makaburi litatekelezwa? Ni lini Serikali itatupa fedha za kumalizia jengo la RPC Manyara? Ni lini Sheria ya Zimamoto itarekebishwa?