Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Hon. Juma Othman Hija

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Tumbatu

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Mifugo na Uvuvi

MHE. JUMA OTHMAN HIJA: Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kukushukuru wewe kwa kunipa fursa ya kuchangia katika hotuba hii. Pili, nampongeza Waziri pamoja na watendaji wote kwa kuwasilisha hotuba hii kwa ufanisi.

Mheshimiwa Spika, katika kuchangia hotuba hii napenda kuchangia kuhusu wavuvi wadogo. Wavuvi wadogo ni sehemu kubwa ya wananchi wa Tanzania. Kundi hili linahitaji kuangaliwa kwa hisia ya pekee.

Mheshimiwa Spika, naishauri Serikali kuwatengenezea mazingira mazuri kwa kuwatafutia zana za kisasa na kuwapatia elimu juu ya uvuvi ili waweze kufanikiwa vizuri.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.