Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Hon. Haji Khatib Kai

Sex

Male

Party

CUF

Constituent

Micheweni

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

MHE. HAJI KHATIB KAI: Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya muda wangu ambao haukutosha, nimeona nimalizie kwa maandishi. Ili kumaliza tatizo la wavuvi wetu na hata wengine kufikia kufungwa jela nchini Kenya, ni vema Serikali zetu mbili yaani Kenya na Tanzania zikarudi kwenye mkataba uliosainiwa na Mawaziri wa Mambo ya Nje, nchi hizi mbili Tanzania na Kenya Desemba 17, 1975.


Mheshimiwa Mwenyekiti, copy ya Mkataba pamoja na kwamba nilikuambatanishia Mheshimiwa Waziri na barua niliyomwandikia hapa nilipo copy ninayo. Akiitaka nitampatia.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana.