Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Fedha na Mipango

Hon. Rwegasira Mukasa Oscar

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Biharamulo Magharibi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Fedha na Mipango

MHE. OSCAR R. MUKASA: Mheshimiwa Mwenyekiti, taarifa ya Benki Kuu inaonesha kushuka kwa kiwango kikubwa kwenye mikopo ya mabenki kwenye shughuli muhimu za kiuchumi mfano mkopo kwa watu binafsi 4.9% kwa mwezi Machi, 2017 ukilinganisha na 37.2% kwa mwezi Machi, 2016, mawasiliano na usafiri 21.6% mwezi Machi, 2017 ukilinganisha na 27.4% ya Machi,2016 na kadhalika. Je, mwelekeo huu unatupeleka wapi?