Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais (TAMISEMI, Utumishi na Utawala Bora) kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017.

Hon. Mohamed Omary Mchengerwa

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Rufiji

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais (TAMISEMI, Utumishi na Utawala Bora) kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017.

MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA: Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nipewe taarifa kuhusu ujenzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma ambacho kiliidhinishwa na Serikali ya Awamu ya Nne kujengwa katika Wilaya ya Rufiji ambayo tayari ilitenga eneo zaidi ya hekari 200 ambazo hazijatumika mpaka sasa.
Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kufahamu ujenzi wa Chuo hiki utaanza lini?