Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Hon. Mwita Mwikwabe Waitara

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Tarime Vijijini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

MHE. MWITA M. WAITARA: Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kuchangia kwa maandishi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nashauri Wizara kuboresha mnada wa Pugu ambao unaitwa mnada wa kimataifa ili kufanana na jina lenyewe kwa kupeleka maji na kuboresha barabara inayoenda mnadani.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na kwamba kuna mnada wa kimataifa Pugu, bado hakuna machinjio ya kisasa ila kuna machinjio ya mtu binafsi Mazizini, Ukonga, lakini katika kata ya Zingiziwa Ukonga kuna eneo la wazi la kujenga machinjio ya kisasa na kuongeza mapato ya Serikali.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kuwasilisha.