Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji

Hon. Rashid Mohamed Chuachua

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Masasi Mjini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji

MHE. DKT. RASHID M. CHUACHUA: Mheshimiwa Naibu Spika, Kiwanda cha Korosho Masasi kina mwekezaji aliyepaswa kukifufua, lakini kimegeuzwa ghala la korosho; tafadhali tunaomba majibu juu ya hoja hii. Mheshimiwa Waziri mfumo uliopo sasa hauwezi kuwafanya wajasiriamali wenye viwanda vidogo vya ubanguaji kupata malighafi, wasiliana na Mheshimiwa Waziri wa Kilimo ili kuchochea ukuaji wa viwanda.

Mheshimiwa Naibu Spika, Kusini kuna malighafi ya juisi (mabibo na maembe mengi) mpango wa Serikali ni upi katika uwekezaji?

Mheshimiwa Naibu Spika, naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja. Ahsante sana.