Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2017/2018 - Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa

Hon. Rashid Mohamed Chuachua

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Masasi Mjini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2017/2018 - Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa

MHE. RASHID M. CHUACHUA: Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu suala la Bima ya Afya kwa wanajeshi, kuna malalamiko ya wanajeshi kuhusu kutibiwa kwenye hospitali zao pekee bila ya kuwa na Bima ya Afya, ni lini Serikali itawapatia bima za afya wanajeshi na familia zao