Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Hon. Sophia Hebron Mwakagenda

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

MHE. SOPHIA H. MWAKAGENDA: Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba sana wanafunzi wanaopata mimba za utotoni warudishwe shuleni kwani wengi wao wanapata mimba wakiwa na umri mdogo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu mikopo elimu ya juu; mikopo ya elimu ya juu inatolewa kwa wanafunzi wachache na wengi wenye uwezo kuachwa hasa watoto wa kike wanaochukua kozi ya Udaktari na Engineering.

Mheshimiwa Mwenyekiti, elimu ya ufundi vyuo ni vichache hasa Mkoa wa Mbeya, kwani nchi yetu inajinasibu kuingia katika uchumi wa viwanda na tuna wanafunzi wengi wanaishia elimu ya msingi na elimu hii ingesaidia kuwapa elimu vijana wetu.