Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.

Hon. Julius Kalanga Laizer

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Monduli

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.

MHE. JULIUS K. LAIZER: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa wananchi wa Wilaya ya Monduli katika Kata ya Makuyuni na Esilalei wameunga mkono sera ya kuwa na kituo cha afya kwa kila kata na wamefika mahali pazuri kwa nguvu na michango yao, tunaomba Wizara itazame namna ya kuwa-support.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia, tuna tatizo la chumba cha upasuaji katika wilaya yetu, tunaomba Wizara itoe namna ya kusaidia ujenzi wa chumba cha upasuaji.