Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017

Hon. Naghenjwa Livingstone Kaboyoka

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017

MHE. NAGHENJWA L. KABOYOKA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana kwa kunipa nafasi hii maana nimeona mara nyingi hata nikileta maombi ya kuchangia sichaguliwi, lakini leo umenichagua ninakushukuru sana.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ninaomba kusema kwamba, kutokana na tamko la Kiongozi wetu wa Kambi ya Upinzani kuhusu uvunjaji wa Katiba ambao unawanyima wananchi wetu kufuatilia haya yanayotendeka hapa Bungeni ningeomba nisubiri mpaka tupate ufumbuzi wa tatizo hili.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante.