Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Rwegasira Mukasa Oscar

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Biharamulo Magharibi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. OSCAR R. MUKASA: Mheshimiwa Mwenyekiti, Road Fund iwe re-allocated. Kwa sasa asilimia 70 barabara kuu na asilimia 30 barabara za halmashauri, hazitendi haki kwa barabara za vitongojini. Halmashauri zimeishia kuchonga barabara chache sana zinazounganisha kata; vijiji na vitongoji bado sana.

Miamala ya simu kwa kutumia fedha. Utumiaji kutoka Mtandao mmoja kwenda mwingine haufanyi kazi, fedha nyingine za wananchi zinapotea na watu wa kampuni wanatoa maelezo tu lakini fedha zinapotea Tunashukuru kwa ujenzi unaoendelea katika barabara ya Bwanga – Kelebezo. Hata hivyo kasi inaendelea kuwa ndogo, vile vile Mkandarasi haweki alama barabarani na hivyo kusababisha ajali.