Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Katiba na Sheria

Hon. Rwegasira Mukasa Oscar

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Biharamulo Magharibi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Katiba na Sheria

MHE. OSCAR R. MUKASA: Mheshimiwa Mwenyekiti, coverage ya civil registration ni ndogo sana hapa nchini, inawezekana ni chini ya asilimia kumi. Kwa nini msitumie watendaji wa Kata na Vijiji kama mawakala wa RITA kwa kuwapa gawio kwa kila kizazi, kifo na ndoa wanavyoorodhesha na kutumia taasisi za utafiti kwa kuhakiki ubora.