Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira

Hon. Margaret Simwanza Sitta

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Urambo

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira

MHE. MARGARETH S. SITTA: Mheshimiwa Mwenyekiti, mazingira; pongezi sana kwa kazi nzuri inayofanyika. Ombi, naomba kwa heshima Mto Ugalla ulioko Usoke, Urambo usaidiwe kuondoa magugu yanayokausha maji.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana.