Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zilizo chini yake pamoja na Mfuko wa Bunge kwa mwaka 2017/2018.

Hon. Josephine Johnson Genzabuke

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zilizo chini yake pamoja na Mfuko wa Bunge kwa mwaka 2017/2018.

MHE. JOSEPHINE J. GENZABUKE: Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kuunga mkono hoja hii ya hotuba ya Waziri Mkuu.
Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nizungumzie kuhusu umeme wa REA Awamu ya Tatu, naomba Serikali inieleze ni lini mradi huo wa REA Awamu ya Tatu utafika Kigoma? Na ninaomba utakapofika Kigoma uweze kufika Kasulu hasa katika vijijji vyote vilivyopo katika barabara kuu
ya Kigoma - Nyakanazi.
Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo naunga mkono hoja.