Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017

Hon. Abdallah Dadi Chikota

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Nanyamba

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017

MHE. ABDALLAH D. CHIKOTA: Mheshimiwa Mwenyekiti, naipongeza Wizara kwa matayarisho ya hotuba nzuri yenye kutoa mwelekeo wa kutafakari kwa mabadiliko ya kweli kwa Watanzania.
Mheshimiwa Mwenyekiti, nashauri yafuatayo:-
(i) Kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kukarabati ofisi zetu za Ubalozi. Baadhi ya ofisi zetu hazijakarabatiwa kwa muda mrefu.
(ii) Pia kuwe na uratibu mzuri wa wanafunzi wanaofanya mafunzo mbalimbali katika nchi mbalimbali ili Balozi zetu ziweze kutoa maelezo ya kina pindi wanafunzi hao wanapopatwa na madhila/matatizo wakiwa huko.