Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kwa mwaka wa Fedha 2016/2017.

Hon. Josephine Johnson Genzabuke

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kwa mwaka wa Fedha 2016/2017.

MHE. JOSEPHINE J. GENZABUKE: Mheshimiwa Mwenyekiti, naanza kwa kuunga mkono hoja hii.
Kwa kuwa watu wanaongezeka lakini ardhi haiongezeki naomba Serikali ilete sheria Bungeni ifanyiwe marekebisho ili mipaka isogezwe ili kusudi wananchi wapate maeneo ya kulima. Mfano, katika Wilaya ya Kasulu lipo eneo la Kagera Nkanda eneo hili wananchi wanalima huko lakini mara nyingi wanaondolewa. Naomba Serikali iweze kumaliza tatizo hili la kuongeza mipaka ili wananchi wapate eneo la kulima. Ahsante.