Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kwa mwaka wa Fedha 2016/2017.

Hon. Eng. Isack Aloyce Kamwelwe

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Katavi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kwa mwaka wa Fedha 2016/2017.

MHE. ENG. ISACK A. KAMWELWE: Mheshimiwa Mwenyekiti, Jimbo la Katavi limepokea wafugaji wengi na mifugo yao na sasa maeneo hayatoshi kwa makazi, kilimo na malisho. Naomba eneo la hifadhi ya msitu wa Inyonga lipunguzwe na kuongezwa vijiji vya Mapili, Kamalampaka, Songambele, Imalauduki, Kafulu, Nzega, Kaulolo, Masigo, Nsemkwa na Ipwaga.