Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Hon. Emmanuel Papian John

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Kiteto

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

MHE. EMMANUEL P. JOHN: Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza naunga mkono hatuba ya Mheshimiwa Waziri wa Nishati na Madini kwa asilimia mia moja. Tatizo kubwa la umeme Kiteto ni umeme wa REA katika Kata ya Kijungu, Kata ya Songambele, Kata ya Magungu, Kata ya Dongo na Kata ya Sunya. Kata hizi zote zilikuwa za REA II, sasa tunaomba majibu ni lini Kata hizi zitapatiwa umeme, maana sasa tumeingia REA Awamu ya III haya maeneo yakiwa bado?
Mheshimiwa Naibu Spika, tunaomba majibu kutoka kwa Mheshimiwa Waziri.