Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Hon. Atupele Fredy Mwakibete

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Busokelo

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

MHE. FREDY A. MWAKIBETE: Mheshimiwa Naibu Spika, naomba Mheshimiwa Waziri atakapokuwa anahitimisha aniambie ni lini umeme wa joto ardhi (geothermal) utaanza kuchimbwa uliopo Kata ya Ntaba. Je, wananchi wa maeneo hayo watanufaikaje na mradi huo?
Mheshimiwa Naibu Spika, kuna vijiji ambavyo vilikuwa kwenye awamu ya pili ya REA ila hadi sasa vijiji hivyo havijapata umeme. Tunaomba vijiji hivyo vipate umeme vilivyopo ndani ya Jimbo la Busokelo visivyopungua 30.