Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Hon. Joseph Zacharius Kamonga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ludewa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

MHE. JOSEPH Z. KAMONGA: Mheshimiwa Spika, naipongeza sana Serikali kwa kumalizia ujenzi wa kituo cha polisi na nyumba za askari pale Ludewa. Naomba sasa wapewe gari ili kuwaongezea ufanisi wa kazi.