Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 – Wizara ya Kilimo

Hon. Dr. Oscar Ishengoma Kikoyo

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Muleba kusini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 – Wizara ya Kilimo

MHE. DKT. OSCAR I. KIKOYO: Mheshimiwa Spika, zao la kahawa mkoa wa Kagera limegubikwa na tatizo la mfumo wa soko. Soko linaua zao la kahawa Kagera. Mfumo wa AMCOS ni hatari kwa ustawi wa zao la kahawa Kagera. Nashauri tufungue milango kwa wafanyabiashara, turuhusu wafanyabiashara binafsi kwa ajili ya kukuza ushindani wa zao hili. Stop protectionism ya AMCOS. Serikali kupitia Tume ya Ushindani iweke mazingira shindani kwa ustawi wa soko na uchumi wa nchi yetu.