Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 – Wizara ya Kilimo

Hon. Amina Ali Mzee

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 – Wizara ya Kilimo

MHE. AMINA ALI MZEE: Mheshimiwa Spika, naomba Serikali iwatumie wanafunzi wa Kitivo cha Kilimo SUA kufanya tafiti mbalimbali za kilimo.

Kwa nini tunakuwa watumwa wa sayansi? Ikiwa wataalamu waliosomea sayansi hawawezi kuitumia sayansi kubadilisha mwelekeo wa idara wanazozifanyia kazi basi wanasayansi hao hawasaidii Serikali na inabidi Serikali ichue hatua.

Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali iwaandae vijana kuweza kuwaendeleza kwenye kilimo kwa kupatiwa elimu, mikopo na masoko kuweza kujikwamua kiuchumi na kuzalisha ajira nyingi nchi.

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.