Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 – Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Hon. Amb. Dr. Pindi Hazara Chana

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 – Wizara ya Mifugo na Uvuvi

MHE. BALOZI DKT. PINDI H. CHANA: Mheshimiwa Spika, kwanza naunga mkono hoja.

Mheshimiwa Spika, naomba Serikali iwekeze kwenye uchumi wa bahari yaani uvuvi, usafirishaji wa mizigo baharani, magari, makontena na kadhalika. Cruse tourism, utalii wa bahari, uuzaji wa mapambo ya bahari, uvuvi kwa kushirikiana na sekta binafsi.

Mheshimiwa Spika, naonga mkono hoja.