Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017.

Hon. Eng. Edwin Amandus Ngonyani

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Namtumbo

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017.

MHE. ENG. EDWIN A. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja.
Mheshimiwa Waziri, wewe ni zawadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu kama ilivyo kuwa Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ombi la Wananamtumbo, mtujengee Chuo cha VETA. Aidha, mtusaidie Chuo cha Ualimu kilichoanzishwa Namtumbo katika Kijiji cha Nahoro, chini ya mwavuli wa Ushirika wa SONAMCU na Mkufunzi Mstaafu Bwana Awadh Nchimbi kiendelezwe na changamoto zililoko zitatuliwe. Nawasilisha.