Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2018 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 na Mapendekezo ya Serikali kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

Hon. Zainab Athuman Katimba

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2018 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 na Mapendekezo ya Serikali kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

MHE. ZAINABU A. KATIMBA: Mheshimiwa Naibu Spika, ushauri kwa sababu tunakoelekea kwenye uchumi wa viwanda tunahitaji kuwekeza katika rasilimali watu. Rasilimali watu ya uchumi wa viwanda ni kada ya kati hasa mafundi mchundo. Nashauri wanafunzi wa vyuo vya ufundi wenye uhitaji wawekwe kwenye mpango wa kukopeshwa na Bodi ya Mikopo kwa wanafunzi.

Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru.