Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2018 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 na Mapendekezo ya Serikali kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

Hon. Margaret Simwanza Sitta

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Urambo

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2018 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 na Mapendekezo ya Serikali kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

MHE. MARGARET S. SITTA: Mheshimiwa Naibu Spika, naipongeza sana Serikali kwa jitihada kubwa ya kuendeleza nchi yetu. Hongereni Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu na watendaji wote.

Mheshimiwa Naibu Spika, je, Serikali imejipanga vipi kuhakikisha kuwa wanunuzi wa tumbaku wanaendelea kununua kwa kujadiliana jinsi ya kutatua suala la VAT? Je, Serikali imejipanga vipi kuhakikisha kuwa mbolea inafika nchini kabla ya mwezi Agosti?