Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Nishati

Hon. Dr. David Mathayo David

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Same Magharibi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Nishati

MHE. DKT. DAVID M. DAVID: Mheshimiwa Mwenyekiti, naunga mkono hoja hii. Napenda pia kuwapongeza uongozi wa Wizara kwa kazi kubwa wanayoifanya wakisaidiana na watendaji wote.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa Waziri aliniahidi huduma ya umeme katika vijiji vyangu 50 vilivyobakia na ambavyo kampuni ya SPENCON ilishindwa kazi waliyopewa. Naomba kujua upelekaji wa umeme wa REA umefika wapi?

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.