Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Nishati

Hon. Dr. Pudenciana Wilfred Kikwembe

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Kavuu

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Nishati

MHE. DKT. PUDENCIANA W. KIKWEMBE: Mheshimiwa Spika, napenda kuchangia katika suala la Ziwa Rukwa, kulikuwa na fununu ya upatikanaji wa gesi ya helium katika Ziwa Rukwa, je, hali ya utafiti mpaka sasa Serikali inasemaje. Je, kuwepo kwa gesi hiyo katika Ziwa Rukwa hakuna athari za kiafya kwa wananchi na watumiaji wa ziwa hilo. Serikali ina mpango gani wa kuweza kuvuna gesi hiyo na kuitumia?