Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Madini

Hon. Sophia Hebron Mwakagenda

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Madini

MHE. SOPHIA H. MWAKAGENDA: Mheshimiwa Spika, kuhusu umeme; umeme wa REA katika Wilaya ya Rungwe, hasa REA phase lll haijafanyika maeneo mengine na hasa vijijini.

Mheshimiwa Spika, kuhusu mgodi wa Kiwira. Ni lini mgodi huu utaendeshwa kwa faida ya nchi na Wanambeya? Kumbuka uliajiri vijana wengi hasa wanawake wa Mkoa wa Mbeya.

Mheshimiwa Spika, kuhusu fedha za ACACIA. Ni lini tunalipwa wananchi sawa na ahadi ya Waziri husika? Maana wananchi wa Mbeya tunasubiri gawio.